Saturday, July 14, 2012

AJALI YA TRENI YAUA WATU 19 AFRIKA KUSINI




Maafisa nchini afrika kusini wanasema takriban watu 19 wameuwawa baada ya treni kugonga lori lililokuwa limebeba wafanyikazi kwenye kivukio cha reli.
Ajali hiyo imetokea katika mkoa wa mashariki wa Mpumalanga.
Habari kamili kuhusu ajali hiyo bado hazijulikani kikamilifu.
Ingawa kuna taarifa nyengine ambazo zinasema kuwa watu wapatao 24 huenda wameuwawa.

BBC SWAHILI

No comments:

Post a Comment